Blogger Widgets

Monday 30 September 2013

DARASA NA BECA WASHILIKISWA NA TAACICI KWENYE WIMBO WAKE MPYA.

MSANII KUTOKA NYANDA ZA JUU KUSINI TAACICI AMEACHIA WIMBO WAKE MPYA UITWAO HOMA YA MOYO NDANI KAWASHILIKISHA DARASA NA BECA IBROZAMA, BONYEZA KITUFE APO CHINI KUUPATA WIMBO HUO.
                                                                          Taacici
 

Wednesday 21 August 2013

DIAMOND, ROMA, STAMINA, RECHO NA WENGINE KIBAO KUTOKOMEZA ZIRO KUPITIA VIPAJI VYAO.

LIST YA WALIOFANYA WIMBO WA TAOKOMEZA ZIRO

Kuwa Wa Kwanza Kusikiliza Wimbo Mpya Ulioimbwa Na Mastaa Kama Mwasiti, Kala, Roma Mkatoliki, Diamond, Stamina, Linah, Mwana Fa, Peter Msechu, Linex, Recho, Maunda Zolo Unao Husina Na Kutokomeza Ziro Uliotengenezwa Na Producer TUDD THOMAS. Download kupitia button  iyo apo chini.
 

Saturday 6 July 2013

UJIO MPYA WA DARASA KUMSHIRIKISHA DITTO

 click link iyo apo chini uweze kumsikia darasa akikwambia weka ngoma.

Darasa_ ft_ lameck Ditto_ Weka Ngoma__ _Produced by Tudd Thomas
Darasa na tudd Thomas baada ya upishi wa wimbo huo!

MATUKIO YA USIKU WA TUDD THOMAS.


 NI USIKU ULIOPENDEZESHWA NA WA SANII KIBAO NDANI YA UKUMBI WA DAR LIVE MBAGALA......!

Izzo Business akipagawisha mashabiki.



Chegge Chigunda akiwapa kitu cha take away

 
Bella (kushoto) na Jini kabula
Linex sunday mjeda akiwapa raha mashabiki.
















mashabiki  

http://api.ning.com/files/uitupUukk-8FvE9dCXxdXn4wcoJ-TAQc00Q0Mr0NHktHHc3od2JKQwI6DiNinZW1uo9ZIkV7HhSLt0o6kXtR7v6Q77JJed7B/USIKUWATUDDTHOMASDARLIVE20136.jpg 
Makomandoo wakipagawisha mashabiki kwakucheza.

 
Amini akionyesha uwezo wake

 
Quick racka akiwapagawisha mashabiki.

Madancer wa tunda man wakionyesha uwezo,
 
Tunda man kuwapa raha mashabiki

 
Queen Darleen akiwadatisha na kokolo.
.

Sunday 30 June 2013

TUDD THOMAS NA FAINALI LA KOMBE LA FIFA CONFIDERATION CUP!

FAINALI YA KOMBE LA FIFA KUONYESHWA LIVE KUPITIA BIG SCREEN ILIYOPO DAR LIVE KATIKA USKU WA TUDD THOMAS.
 Fifa Confideration Cup

Brazil na Spain leo saa saba usiku.


Saturday 29 June 2013

AMSHA AMSHA YA USIKU WA TUDD THOMAS!

Maandalizi ya usiku wa Tudd Thomas utakao fanyika ndani ya ukumbi wa DAR LIVE mbagala zakiem. 
Mashabiki wa Tudd Thomas.



baadhi ya mashabki wa Tudd Thomas.

Thursday 27 June 2013

IMEBAKI SIKU MOJA KUHUSHUDIA USIKU WA 'TUDD THOMAS' DAR LIVE.

Wasanii kibao wakali wa bongo flava na bongo muvi kuupendezesha uskiku huo ndani ya ukumbi wa Dar live mbagala bila kumsahau mshindi wa 'BSS' WALTER CHILAMBO ndani na wengine kibao!
Mlangoni buku saba (7000/=)  tu!

Monday 17 June 2013

TUDD THOMAS MWISHO WA ZIRO

Tudd Thomas akiwa studio na bongo stars kwenye uandaaji wa wimbo mpya wa kutokomeza ziro. 

Tudd thomas, Quick racka na keisha wakiwa studio.


Tudd Thomas akiwa studio