Blogger Widgets

Sunday 30 June 2013

TUDD THOMAS NA FAINALI LA KOMBE LA FIFA CONFIDERATION CUP!

FAINALI YA KOMBE LA FIFA KUONYESHWA LIVE KUPITIA BIG SCREEN ILIYOPO DAR LIVE KATIKA USKU WA TUDD THOMAS.
 Fifa Confideration Cup

Brazil na Spain leo saa saba usiku.


Saturday 29 June 2013

AMSHA AMSHA YA USIKU WA TUDD THOMAS!

Maandalizi ya usiku wa Tudd Thomas utakao fanyika ndani ya ukumbi wa DAR LIVE mbagala zakiem. 
Mashabiki wa Tudd Thomas.



baadhi ya mashabki wa Tudd Thomas.

Thursday 27 June 2013

IMEBAKI SIKU MOJA KUHUSHUDIA USIKU WA 'TUDD THOMAS' DAR LIVE.

Wasanii kibao wakali wa bongo flava na bongo muvi kuupendezesha uskiku huo ndani ya ukumbi wa Dar live mbagala bila kumsahau mshindi wa 'BSS' WALTER CHILAMBO ndani na wengine kibao!
Mlangoni buku saba (7000/=)  tu!

Monday 17 June 2013

TUDD THOMAS MWISHO WA ZIRO

Tudd Thomas akiwa studio na bongo stars kwenye uandaaji wa wimbo mpya wa kutokomeza ziro. 

Tudd thomas, Quick racka na keisha wakiwa studio.


Tudd Thomas akiwa studio