Blogger Widgets

BIO

Tudd Thomas

Tudd Thomas

Tudd is one of Tanzania’s most prominent producers, having worked with pretty much every name in Bongo Flava and Swahili rap over the last few years. His infamous studio ‘Ngoma Records’ witnessed many many hit records for Tanzania and the East African region.
Most recent are his notable successes with Barnaba’s hits “Milele Daima”, “Gube Gube” and Lameck Ditto’s “Wapo”, and “Tushukuru Kwa Yote”.
Tudd’s recent work has also included much matangazo for Clouds FM, ABC Bank, and Fiesta.

2 comments:

  1. TANGU UNAANZA NA MARLOW kwenye 2008 hivi nilianza kuzikubali kazi zako,nilikuwa najisikia vibaya sana kwenye tuzo huwa mara chache sana wanakujumuisha,nikawa nawaza hivi hawa wanajuwa MZIKI au...!!??

    Pamoja na hayo yote niliwaza sana kuwa siku moja uje umfanyie kazi diamond kwakuwa naye nilikuwa namkubali,hivyo lazma watu waanze kufuatilia kazi zako,nilivyoisikia remix ya my number 1,na ni kweli watu wamekutambua na nikasema ndoto zangu zimetimia...ila naomba uandae project ya Kutengeneza nyimbo ya pamoja ya Diamond Platnumz na Rich Mavoko,kwa uhakika nilionao juu ya mkono wako,naimani kazi itakuwa nzuri na pendwa sana...NAKUKUBALI NA PRODUCER WANGU MPAKA KUFA..!!!

    ReplyDelete