Wasanii kibao wakali wa bongo flava na bongo muvi kuupendezesha uskiku huo ndani ya ukumbi wa Dar live mbagala bila kumsahau mshindi wa 'BSS' WALTER CHILAMBO ndani na wengine kibao!
Najua nikizungumzia ma producer wakali katika tasnia hii ya muziki hapa bongo basi Tudd thomas atakuwa katika list yangu,sasa leo baada ya kuchonga naye aliweza kunieleza siri ya mafanikio yake katika muziki wa hapa bongo.Alisema kwamba katika maisha yake atosahau kitu kinachoitwa ngoma kwani alieleza hizo ndizo zimemfanya hii leo kujulikana katika tasnia ya muziki na kufanya kazi za wasanii mbalimbali.